Alhamisi, 8 Oktoba 2015

TIMU BAJAJI YATIKISA KAHAMA

Timu Bajaji ambao wanazunguuka nchi nzima kwa Bajaji Jana walikua kahama wakizungumza na vijana wa Soko kuu la kahama na badae kuungana na Kishimba mgombea Ubunge wa Jimbo la Kahama Mjini kupitia CCM.











Hakuna maoni: