Alhamisi, 8 Oktoba 2015

MIZENGO PINDA AHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI NKASI

2
1
Mjumbe wa Kamti Kuu ya CCM na Waziri Muu, Mizengo Pinda akimnadi mgombea ubunge wa Jimbo la Nkansi Kaskazini, Ally Kessy Mabodi katika mkutano wa kampeni za CCM  aliouhutubia katika kijiji ch Kalungu wilayani Nkansi Oktoba 8, 2015.
4
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Kampeni za CCM uliohutubiwa na  Mjumbe wa Kamti Kuu ya CCM na  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika kijiji cha Kalungu wilayani Nkansi wakishangilia wakati alipowanadi mgombea urais, wbunge na madiwani Oktoba 8, 2015.
(Pichana Ofisi ya Waziri Mkuu)

Hakuna maoni: